About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Wednesday, March 14, 2012

MBUNGE WA VITIMAALU MKOA WA RUVUMA, MNEC NA MKUU WA MKOA WA RUKWA MHANDISI STELLA MANYANYA AWA MBUNGE WA KWANZA KUTEMBELEA JENGO LA POLISI WANAWAKE LINALOJENGWA NA WANAHARAKATI NA KUAHIDI KUTOA MILIONI 1

 Kutoka kushoto ni Katibu wa UWT Mkoa wa Ruvuma Mariam Yusuph, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Hamza Temba, Mwanaharakati wa TGNP Kanda ya Kusini na Mhariri Msaidizi wa Tujifunze Kanda ya Kusini Juma Nyumayo, Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma, Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya, Mwanaharakati wa TGNP Kanda ya Kusini, Mwandishi wa Star Tv/ Redio Free na Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa jengo la Polisi wanawake mkoa wa Ruvuma Adam Nindi, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fadhiri Chacha 
 Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Ruvuma Kuruthum Mhagama, Katibu wa UWT Mkoa wa Ruvuma Mariam Yusuph, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mnec na Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya akiwa na wajumbe wengine wa Baraza la Uwt mkoa wa Ruvuma wakitembelea jengo maalum la kusikiliza matatizo ya wanawake (Dawati la Jinsia) lilopo karibu na kituo kikuu cha Polisi Mjini Songea
 Mwanaharakati wa TGNP Kanda ya Kusini na Mhariri Msaidizi wa Tujifunze Kanda ya Kusini Juma Nyumayo akitoa maelezo ya awali ya jengo hilo kwa viongozi wa Jumuiya ya UWT Mkoa wa Ruvuma walipotembelea jengo hilo wakiongozwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mnec na Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya
 Mwanaharakati wa TGNP Kanda ya Kusini, Mwandishi wa Star Tv/ Redio Free na Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa jengo la Polisi wanawake mkoa wa Ruvuma Adam Nindi akitoa maelezo ya ujenzi wa jengo hilo

 Viongozi wa Jumuiya ya UWT Mkoa wa Ruvuma walipotembelea jengo hilo wakiongozwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mnec na Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya wakisikiliza maelezo ya jengo hilo
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mnec na Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya akizungumza kwa furaha baada ya kutembelea ujenzi wa jengo hilo ambalo linapaswa kuigwa na mikoa mingine ambapo aliahidi kutoa milioni 1 kuchangia ujenzi huo na kushauri kuwa mara litakapo kamilika licha ya kutoa ushauri wa kisheria, ujinsia pia kiwe kioo cha maendeleo kwa wanawake kwa kutumia sheria watakazojifunza kupitia dawati hilo
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mnec na Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya akiondoka eneo hilo baada ya kukamilisha kazi yake ya kukagua jengo la dawati la jinsia(mtandao wa Polisi Wanawake)

No comments:

Post a Comment