About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, March 9, 2012

MKUU WA MKOA WA RUKWA MHANDISI STELLA MANYANYA AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID MWAMBUNGU KUJADILIANA MAENDELEO YA BARABARA ZA MIKOA HIYO NA VIONGOZI WA MCC

 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na kiongozi wa miradi ya MCC Mzee Mchomvu walipokutana kwenye kikao maalumu kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma
 Wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu, wa pili Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya wakijadiliana maaendeleo ya barabara katika mikoa hiyo kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma na Kiongozi wa Miradi ya MCC
 Wakuu wa Mikoa ya Rukwa Mhandisi Stella Manyanya na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu wakiagana na ujumbe wa viongozi wa MCC baada ya kumalizika kwa kikao chao maalum kilichofanyika kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Kiongozi wa miradi ya MCC Mzee Mchomvu akisalimiana na Viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Ruvuma baada ya kuzungumza na wakuu wa Mikoa ya Rukwa na Ruvuma

No comments:

Post a Comment