About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Thursday, September 29, 2011

UZINDUZI WA MRADI WA UTAFUTAJI WA MASOKO NA UUZAJI BIDHAA NI MKOMBOZI WA WAJASILIAMALI

 Kikundi cha Mletere kikitumbuiza wageni na Wajasiriamali mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wa gari ya dhahabu jana
 Wageni mbalimbali wakifuatilia kwa umakini hafla hiyo muhimu kwa wajasiliamali jana

Bidhaa ambazo zinazalishwa Tanzania na wajasiliamali wake zikiwa zimepangwa vizuri kwenye shelfu maalumu ili kuwawezesha washiriki kuangaria na kuzinunua ikiwa ni fahari kununua bidhaa zinazotengenezwa na wajasiliamali wa ndani

No comments:

Post a Comment