About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, December 9, 2011

MAKAMANDA WA CHADEMA MJINI SONGEA WAMPONGEZA MBUNGE REGIA MTEMA NA KATIBU WA JIMBO LA KAWE POWEL MFINANGA KWA KUJA SONGEA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI KATIKA MKUTANO WA NDANI NA WA HADHARA KATIKA MASUALA NYETI YA TAIFA IKIWEMO MABADILIKO YA KATIBA,MIAKA 50 YA UHURU,UFISADI NA UBADHILIFU WA MALI ZA UMMA

 Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Regia Mtema akizungumza na Kamanda wa chama hicho Ntobi Emmanuel kwenye viwanja vya Songea Girl kabla ya kuanza safari yake ya kurudi jijini Dar Es Salaam kwa majukumu mengine
 Katibu wa Chadema Jimbo la Kawe Powel Mfinanga akipokelewa na Kamanda Willy Nestori kwenye eneo maalumu la kuagana lililoandaliwa na makamanda wa chama hicho mjini Songea


 Katibu wa Chadema Jimbo la Kawe Powel Mfinanga,Mbunge Regia Mtema na Emmanuel Ntobi wakiendelea kuzungumza masuala ya taifa kwa maslahi ya watanzania kupitia CHADEMA
Hayo nayo yanaendelea kusumbua vichwa vya wadau mbalimbali wa masuala ya DINI,UTAMADUNI wa mwafrika,tuendelea kutafakari kwa kina uamuzi wa jamaa huyo alioweka bango hilo kwenye gari yake na kauli zinazoendelea kutolewa na wababe wa DUNIA,Je Baraka Obama ambaye ni Mwafrika mwenzetu ametusaliti au vipi?

No comments:

Post a Comment