About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, September 17, 2011

WADAU MBALIMBALI NCHINI WAENDELEA KUTUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA MAREHEMU MOHAMED MNYACHI ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA TANZANIA LABOUR PARTY(TLP) WILAYANI TUNDURU

Marehemu Mohamed Mnyachi enzi za uhai wake(Picha kwa hisani ya Familia yake)

Na Agustino Chindiye,Tunduru

Mtandao huu unatoa pole kwa Familia ya Marehemu Mnyachi na inaungana na watanzania wote katika majonzi hayo;Tunaamini kuwa Marehemu Mnyachi ameacha pengo kubwa ambalo halitazibika lakini mchango wake umeonekana dhahili katika kuchangia harakati za ukombozi wa Taifa hili kutoka nikononi mwa Mafisadi na wabadhilifu nchini

Marehemu Mnyachi ametangulia mbele za haki nasi tunamfuata lakini aliweza kutimiza wajibu wake kikamilifu enzi za uhai wake,uliobaki ni wetu,wakati tunaendelea kumkumbuka tutafakari kwa umakini fikra zake ili ziweze kutusaidia katika ujenzi wa pamoja wa taifa tunalolihitaji
         Bwana alitoa na Bwana ametwaa,Jina lake lihimidiwe

No comments:

Post a Comment