About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, October 15, 2011

MKUTANO WA WADAU WAFUNGULIWA RASMI NA MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID MWAMBUNGU

     
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akifungua mkutano wa wadau wa habari mkoani Ruvuma,Kulia ni Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club,Kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Daniel Malekela
Mjumbe wa Kamati ya Maadili ya Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Ruvuma Judith Mwenda akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi baada ya kufungua mkutano huo wa wadau

No comments:

Post a Comment