About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, October 15, 2011

WAANDISHI WA HABARI WAENDELEA NA MKUTANO NA WADAU WA HABARI MKOANI RUVUMA

 Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club Endrew Kuchonjoma akimkaribisha mgeni rasmi ili aweze kufungua mkutano wa wadau na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu Tanzania Tawi la Ruvuma,wa kwanza toka kulia ni Augustine Mbunda Mwasisi wa Chama cha Waandishi Mkoa wa Ruvuma,Dkt Daniel Malekela Mganga Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu,Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Charles Mhagama
 Katibu  Mkuu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga na Mweka Hazina wa Ruvuma Press Club Joyce Joliga
 Waandishi wa Habari wakiendelea kufuatilia majadiliano katika mkutano huo
 Wadau wa Habari wakiendelea kusikiliza majadiliano yaliyokuwa yanaendelea kwenye mkutano huo
Cresencia Kapinga Mwandishi wa Gazeti la Majira akiendelea kufanya kazi yake kwa Ueledi mkubwa

No comments:

Post a Comment